Jeshi
la Nigeria linasema limewaua wanamgambo zaidi ya 300 wa Boko Haram
katika mji wa Monguno katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa
nchi hiyo.
Msemaji
wa jeshi Chris
Olukolade amesema licha ya kuwaua wanagambo hao imefanikiwa pia
kuwakamata baadhi yao.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi8VzauMlJbBkphyphenhyphenyDU6538dlDIWwxgejbMj8vT0ylC5hdtrgfbXymbbjCkPYBewyfN9flXNQukXhwGxaReLrXm-J3oGE9j-1lwyxmzgitnceRGWFRc5XaDdksA1H-XMC7Oxvl563_Ma-s/s1600/_77966129_77959544.jpg)
Tume
ya Uchaguzi nchini humo iliahirisha Uchaguzi huo baada ya jeshi
kusema kuwa halikuwa na uwezo wa kutoa ulinzi kwa wananchi wakati huo
na kuomba wiki sita kukabiliana na kundi hilo.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire