Pages

mercredi 26 février 2014

SERIKALI YA DRCONGO YASEMA HAIWEZI KUMKAMATA OMAR AL BASHIR ANAYE SHIRIKI MKUTANO WA COMESA JIJINI KINSHASA


Viongozi wa Jumjuiya ya Kiuchumi ya Soko la pamoja ya nchi za Kusini mwa Afrika COMESA, wanakutana jijini Kinshasa nchini DRCongo katika mkutano uliozinduliwa na rais wa nchi hiyo Joseph Kabila, wakiwempo marais kadhaa wa jumuiya hiyo akiwemo Omar hassan al Bashir.

Kushiriki kwa Omar Bashir katika mkutano huo jijini Kinshasa kumezua utata jijini humo baada ya mashirika yanayo kadiriwa kufikia 90 kuitaka serikali ya DRCongo kumtia nfuvuni Omar Al Bashir anaye tsfutwa na mahakama ya uhalifu wa kivita ya ICC kufuatia makosa ya kivita yliotekelzwa katika Jimbo la Darfour.

Mbali na mashirika hayo, mahakama ya uhalifu wa kivita ya ICC imeitaka serikali ya rais Joseph Kabila kumkamata rais Bashir ambaye yupo chini ya waranti ya kukamatwa kutoka mahakama hiyo.

Serikali ya DRCongo imesema haiwezi kamwe kutekeleza jambo hilo.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire

KINACHOFANYWA NA RAIS NKURUNZIZA KWA SASA NDIO ULE MCHEZO WA NDANI?

Mkanganyiko umeendelea kushuhudiwa katika chama tawala nchini Burundi cha CNDD-FDD, chama ambacho hapo awali kilileta matumaini ya kuwau...