Kiongozi wa majeshi ya Burundi FDN zamani jeneral Godefroid Niyombare ambaye kwa sasa alikuwa anahusika na maswala ya safari kwenye ikulu ya rais wa Burundi ameteuliwa kuwa balozi wa Burundi nchini Kenya kuchukuwa nafasi ya Ezechiel Nibigira ambaye amererejea nchini Burundi kuhudumu kwenye idara ya uchukuzi wa majini na bandari.
Inscription à :
Publier les commentaires (Atom)
KINACHOFANYWA NA RAIS NKURUNZIZA KWA SASA NDIO ULE MCHEZO WA NDANI?
Mkanganyiko umeendelea kushuhudiwa katika chama tawala nchini Burundi cha CNDD-FDD, chama ambacho hapo awali kilileta matumaini ya kuwau...
-
Rais wa Marekani, Barack Obama, hii leo anatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa kati yake na viongozi toka barani Afrika, mku...
-
R ais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amesaini muswada tata unaopinga ndoa za watu wa jinsi moja, licha ya vitisho kutoka kwa mataifa ya...
-
Rais wa Marekani amewajibu kwa hasira wakosoaji wake baada ya kuchapishwa kwa ripoti kwenye gazeti la Washington Post ikieleza kuwa an...
-
Mwendesha mashtaka mkuu wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ya ICC ametoa wito wa kukamatwa na kujisalimisha kwa mtoto wa kion...
-
Umoja wa Mataifa imeikosoa hatuwa ya serikali ya burundi ya kuendelea kumuweka korokoroni mkurugenzi wa kituo kimoja cha ra...
-
Viongozi wa Ukraine, Urusi, ufaransa na Ujerumani wanakutana hii leo jumatano jijini Minsk katika mkutano unaonekana kuwa b...
-
Katika muendelezo wa kuandaa na kukamilisha album ya mradi ya Album ya U’ill love changes, wasanii Yoya, T.Max na Slay wapo studio kwa a...
-
Kwa mujibu wa taarifa kutoka katika gazeti moja nchini Ujerumani, mawasiliano ya sim ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani, John Kerry ...
-
Marekani imeshambulia kwa mara ya kwanza ngome za kundi la IS zilizo karibu karibu na mji mkuu Bagdad nchini Iraq. Duru za kuaminika zime...

Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire