Kiongozi wa majeshi ya Burundi FDN zamani jeneral Godefroid Niyombare ambaye kwa sasa alikuwa anahusika na maswala ya safari kwenye ikulu ya rais wa Burundi ameteuliwa kuwa balozi wa Burundi nchini Kenya kuchukuwa nafasi ya Ezechiel Nibigira ambaye amererejea nchini Burundi kuhudumu kwenye idara ya uchukuzi wa majini na bandari.
Inscription à :
Publier les commentaires (Atom)
KINACHOFANYWA NA RAIS NKURUNZIZA KWA SASA NDIO ULE MCHEZO WA NDANI?
Mkanganyiko umeendelea kushuhudiwa katika chama tawala nchini Burundi cha CNDD-FDD, chama ambacho hapo awali kilileta matumaini ya kuwau...
-
Riek Machar kushoto na Salva Kiir maswaiba wa zamani ambao leo ni mahasimu Waasi wanamtii makama rais wa zamani wa Sudani Kusini pamoj...
-
Rais wa Afghanistan Hamid Karzai ameinyoshea kidole marekani na kusema kuwa haipaswi kuingilia mambo ya ndani ya nchi yake kwa kuwa ina ...
-
R ais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni amesaini muswada tata unaopinga ndoa za watu wa jinsi moja, licha ya vitisho kutoka kwa mataifa ya...
-
Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC wamegawanyika kuhusu uamuzi wa rais Josephu Kabila kutangaza msamaha kwa wapiganaji...
-
Wafanyakazi wa mgodi wa Marikana wakiwa mgomoni Polisi nchini Afrika Kusini imeingilia kati makabiliano baina ya wafuasi wa chama ...
-
Serikali ya Burundi inaelezwa kukiuka masharti ya kuchukuwa asilimia 20 ya mshahara wa wanajeshi wanaolinda amani nchini Somalia Amisom,...
-
Kundi la wanamgambo wa Al Shabab, limejigamba kuhusika katika shambulio la bomu lililo gharimu maisha ya Watu sita na wengine kadhaa wam...
-
Watu wawili wanaodaiwa kuwa huenda walikuwa wamebeba mabomu wameuawa kwa kupigwa risasi, na polisi mmoja kujeruhiwa nje ya ukumbi ambao...
-
Takriban watu saba wamepoteza maisha katika shambulio la kuvizia lililotokea mjini Mogadishu nchini Somalia ambalo Kundi la Al Shabab li...
-
Maelfu ya mashabiki wamejitokeza huko Mumbai kwa ajili ya mazishi ya Sridevi Kapoor, muigizaji nyota wa filamu za Bollywood ambaye alipa...

Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire