
Baada ya
tuhuma zilizoelekezwa kwa askari wa Tchad waliolazimika kuondoka
nchini humo, sasa ni askari wa Congo Brazzaville ndio wanaotuhumiwa
kwa kukiuka haki za Binadamu kama ilivyoripotiwa na shirika la
kimataifa la Human Rwight watch.
Ripoti hiyo
inabaini kuwa watu wasiopungua 11 waliokamatwa na askari wa
Congo-Brazaville tarehe 24 mwezi Mei mjini Boali kwenye umbali wa
kilomita themanini na mji mkuu Bangui wametoweka na kupelekwa
kusikojilikana.
Aucun commentaire:
Enregistrer un commentaire