Pages

mercredi 6 août 2014

WAZIRI WA KWANZA MWANAMKE KATIKA SERIKALI YA UINGEREZA AJIUZULU


Saa chache baada ya kujiuzulu kwa mmoja wa mawaziri kwenye ofisi ya wizara ya mambo ya nje ya Uingereza na mwanamke wa kwanza muislamu kushika wadhifa huo, uamuzi wake umekosolewa na baadhi ya mawaziri wenzake.

Baroness Sayeeda Warsi waziri aliyekuwa akihusika na masuala ya imani na jamii kwenye serikali ya waziri mkuu David Cameroon, ametangaza uamuzi wake katika kile alichodai ni sera mbovu ya nchi hiyo kuhusu eneo la mashariki ya kati na has mzozo kati ya Israel na Palestina.


Umuzi wake umekosolewa vikali na waziri anayehusika na masuala ya hazina nchini humo George Osbone ambaye anaona kuwa umuzi wa haukuwa sahihi wala haukuwa na mantiki kwakuwa suala la mzozo wa Palestina lilikuwa linashughulikiwa kidiplomasia.

Aucun commentaire:

Enregistrer un commentaire

KINACHOFANYWA NA RAIS NKURUNZIZA KWA SASA NDIO ULE MCHEZO WA NDANI?

Mkanganyiko umeendelea kushuhudiwa katika chama tawala nchini Burundi cha CNDD-FDD, chama ambacho hapo awali kilileta matumaini ya kuwau...